Idara ya mawasiliano (J) Katoliki la Ifakara, inapenda kuwatangazia Mapadre, Watawa, Walei na watu wenye mapenzi mema wa Jimbo la Ifakara na Kanisa kwa ujumla kuwa tarehe 17 /11 /2012 Mhashamu Baba Askofu Salutaris M. Libena atazindua rasmi MWAKA WA IMANI JIMBONI IFAKARA 2012 - 2013