Skip to main content

Posts

Showing posts from 2015

HABARI ZA JIMBO -Toleo la Januari - Juni, 2015

  SIKU YA MWANAMKE DUNIANI WAWATA WAKUTANA MPANGA Tarehe 8 Machi ya kila mwaka huadhimishwa kama Siku ya Mwanamke Duniani. Kijimbo, Wanawake wakatoliki maarufu WAWATA waliiadhimisha siku ya Mwanamke Duniani ngazi ya Jimbo katika Tarafa ya Mlimba Parokiani Mpanga. Ilikuwa siku nzuri pale akina mama kutoka parokia mbalimbali walipokutana kwa semina, mafunzo mbalimbali na siku ya kilele Misa Takatifu na michezo. Mgeni rasmi katika kilele hicho alikuwa Mhe. Pd. Bonaventure Mchalange Naibu wa Askofu wa Ifakara. Mahudhurio ya akina mama kadili ya parokia yalikuwa kama inavyoonekana kwenye jedwali. Na Parokia Idadi Mwendelezo 1 Taweta 16 11 Ifakara 29 2 Mpanga 47 12 Kibaoni 10 3 Mlimba 24 13 Kiberege 2 4 Chita 12 14 Mkula 11 5 Merera 11 15 Msolwa Ujamaa 1 6 Mchombe 21 16