Skip to main content

PROFILE


                         Ifakara Diocese Profile
Erected: 14th January, 2012
Rite: Latin
Type of jurisdiction: Diocese
Metropolitan: Archdiocese of Dar es Salaam
Country: Tanzania
Area: Sq.km 14,245 (5,502 sq miles)
Total population: 322, 779
Catholics: 287,000
Percent of Catholics: 88.9%
Diocesan Priests: 27
Religious Priests: 18
Total priests: 45
Male Religious (excluding religious priests): 3
Female religious: 198
Parishes: 18
Sub Parish: 1
INSTITUTIONS IN THE DIOCESE
1. Male Religious Institutions
a) Franciscan Capuchin
b) Priests of Heralds of Good News
c) Priests of the Congregation of Missionaries of Compassion
d) Apostolic Life Community of Priests in the Opus Spiritus Sanct, ALCP/OSS
e) Precious blood

2. Female Religious Institutions
a) Franciscan Sisters of Charity (Diocese of Mahenge)
b) Franciscan Clarist Congregation (India)
c) Holy Spirit Congregation (India)
d) Sisters of Good News (India)
e) Little Sisters of Mother of Sorrows, Usokami – Italy
f) Kisawasawa Ursuline Sisters of Sacred Heart of Jesus Agonizing

3. Institutions for social services
a)St.Francis Referral Hospital
b) St. Francis University College of Health and Allied Sciences
c) General Nursing Diploma Upgrading Course (GNDUC)
d) Edgar Maranta School of Nursing
e) Benignis Center: this runs Benignis secondary school, computer center, nursery school, conference hall and tailoring unit
f) Nazareth Lepra Home
g) Bethlehem Center for mentally retarded children
h) 9 dispensaries
i) Secondary schools: Benignis secondary school (Diocesan), Saint Martin Girls' Secondary School (Franciscan Sisters of Charity), Sole secondary school (Sisters of Good News), Compassion secondary school & Assumption secondary school (Priests of the Congregation of Missionaries of Compassion), Queen Mary’s secondary school (Priests of Heralds of Good News)
j) St.Joseph Vocational Training School (for motor mechanics, mason, carpentry and electrical)

4. Income generating units
a) Michenga Farm (Diocese)
b) Ifakara Bakery (Franciscan Sisters of Charity)



DIOCESE OF IFAKARA
ORDINARY
The Right Rev. Salutaris Melchior Libena, born on 23rd November 1963 at Mtimbira, Ulanga District, in the Diocese of Mahenge. He was ordained Priest on 29th June 1991. On 28th January 2010 was appointed the Auxiliary Bishop of the Archdiocese of Dar es Salaam. On 14th January 2012 was nominated a first bishop of the newly erected diocese of Ifakara and was installed on the 19th March 2012.


Residence:
Bishop’s House, Ifakara
P.O Box 30 Ifakara
Kilombero/Morogoro
Tanzania
Tel:    +255 23 2625064 (Office)
              +255 754 082682 (Mobile)
               +255 0787 398113
Fax:    +255 23 2625064
   Email: sallibena@hotmail.co; ifakaradiocese@gmail.com



 Vicar general:
Rev. Fr. Bonaventure Mchalange, born on the 6th March 1952 at Lupiro in Ulanga District. Ordained Priest on 22nd December 1979, and Appointed as Vicar General 31st March 2012.

Residence:
Idete Parish
P.O. Box 14 IFAKARA – Tanzania
Tel: +255 787 007156 (Mobile)
Fax: +255 23 2625088 (Office)

E Mail: bmchalange@yahoo.com
            ifakaradiocese@gmail.com



Secretary General                                                                                                                 
Fr. Wenseslaus Kayera
Rev. Fr. Wenseslaus Kayera
P.O. Box 57 IFAKARA
Tel: +255 23 262 5088 (Office)
Tel: +255 784 482 018 (Mobile)
Fax: +255 23 262 5088
            ifakaradiocese@gmail.com  




      


Fr. Hospitio Itatiro
 Treasure General.
Rev. Fr. Hospitio Itatiro
P.O. Box 57 IFAKARA
Tel. +255 23 262 5067 (Office)
Tel: +255 784 512 626 (Mobile)
Fax: +255 23 262 5088
            ifakaradiocese@gmail.com




Personnel Working in the Diocese:
Diocesan Priests  
29
Missionary Capuchin Priests  
02
Indigenous capuchin Priests   
05
OSS Priests    
02
Missionaries of Heralds of Good News 
05
Missionaries of Compassion   
03
Precious Blood Fathers                                                       
02
Franciscan Sisters of Charity                                                   
120
Sisters of Divine Providence                                                
01
Heralds of Good News Sisters                                             
03
Sisters of St.Cleria                                                              
05
Ursuline Sisters of Sac. Heart of Jesus Argonizing                                                                
06
Indigenous Capuchin Brothers                                             
06
Catechists                                                                         
150




Statistics:
Total Population 322,779
Catholics               287,000



Comments

Popular posts from this blog

SHUKRANI YA MAVUNO

Kushukuru ni kuomba, lakini kushukuru ni Uungwana. Mhashamu Baba Askofu Salutaris Libena wa Jimbo Katoliki la Ifakara anayofuraha kubwa sana kuwaalika Mapadre,Watawa na Walei wa Jimbo la Ifakara kwenye adhimisho la Ibada ya Misa Takatifu kwa ajili ya Kumshukuru Mungu kwa Neema na Baraka mbalimbali ambazo anatujalia, katika Jimbo letu siku ya Ijumaa ya tarehe 21/09/2012 katika Kanisa Kuu la Jimbo (Ifakara).   Pia katika misa hiyo Askofu, Mapadre, Watawa na Walei wanaungana na Mapadre H. Itatiro, L. Mdenkeri na A. Magome ambao wanatimiza miaka 40 ya Upadre, pia na Padre Kawewela ambaye anatimiza miaka 25 ya Upadre. 

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU WA YESU 2013

WATOTO WA UTOTO MTAKATIFU WA YESU Kongamano la Utoto Mtakatifu wa Yesu Kanda ya Mashariki 2013 litafanyika Jimboni Ifakara kuanzia tarehe 13 - 17 ya mwezi wa sita (6). Ni majimbo nane (8) yanayotarajiwa kushiriki katika Kongamano hilo. Majimbo hayo ni:- Dar es Salaam, Morogoro, Mahenge, Tanga, Zanzibar, Dodoma, Kondoa na Ifakara. Maandalizi ya Kongamano hilo yanaendelea vizuri. Mhashamu Askofu Salutaris Libena, Mapadre, Watawa na Waamini wote wa Jimbo la Ifakara wanawakaribisha Watoto wote na watu wote wenye mapenzi mema kufurahia ukarimu wa watu wa Jimbo la Ifakara..                                                     "MTOTO NA IMANI"                               KWA PAMOJA TUNASEMA KARIBUNI SANAA!!  

PADRE LOUIS MDENKERI HATUPO NAE TENA

Padri Louis Adalbert Mdenkeri alikuwa mtoto wa tatu kati ya watoto wanane kwa baba Adalbert Fidelis Mdenkeri na mama Anthonia Kazingoma. Alizaliwa Kwiro tarehe 31 Machi, 1945. Alibatizwa tarehe 01 Aprili, 1945 namba yake ya ubatizo: Kwiro LB 15093. Alipewa kipaimara na Hayati Askofu Mkuu Edgar Maranta tarehe 01 Oktoba, 1955 namba yake ikiwa LN 10026. Alipewa daraja ya Upadri huko Kwiro tarehe 12 Agosti, 1972 na hayati Askofu Adrian Mkoba wa Morogoro.   MAREHEMU PADRE LOUIS  MDENKERI   Elimu: Hayati Padri Mdenkeli alisoma darasa la i-iv katika shule ya Msingi Kwiro. Baadaye seminari ndogo ya Mt. Fransis sasa inafahamika zaidi kama Kasita Seminari darasa la tano hadi la kumi. Baada ya kumaliza darasa la kumi pale Kasita aliacha seminari na kujiunga na sekondari ya Mt. Joseph – Jimbo Kuu la Dar es Salaam ambayo baadaye ikaja kuitwa Forodhani secondary school. Wakati anasoma St. Joseph sekondari, Hayati Sr. Yasinta aliyekuwa Mkuu wa shule alimshauri wakati huo kijana Louis Mk

HABARI ZA JIMBO -Toleo la Januari - Juni, 2015

  SIKU YA MWANAMKE DUNIANI WAWATA WAKUTANA MPANGA Tarehe 8 Machi ya kila mwaka huadhimishwa kama Siku ya Mwanamke Duniani. Kijimbo, Wanawake wakatoliki maarufu WAWATA waliiadhimisha siku ya Mwanamke Duniani ngazi ya Jimbo katika Tarafa ya Mlimba Parokiani Mpanga. Ilikuwa siku nzuri pale akina mama kutoka parokia mbalimbali walipokutana kwa semina, mafunzo mbalimbali na siku ya kilele Misa Takatifu na michezo. Mgeni rasmi katika kilele hicho alikuwa Mhe. Pd. Bonaventure Mchalange Naibu wa Askofu wa Ifakara. Mahudhurio ya akina mama kadili ya parokia yalikuwa kama inavyoonekana kwenye jedwali. Na Parokia Idadi Mwendelezo 1 Taweta 16 11 Ifakara 29 2 Mpanga 47 12 Kibaoni 10 3 Mlimba 24 13 Kiberege 2 4 Chita 12 14 Mkula 11 5 Merera 11 15 Msolwa Ujamaa 1 6 Mchombe 21 16

KONGAMANO JIMBONI IFAKARA

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU KANDA YA MASHARIKI 13 – 17/6/2013 JIMBONI IFAKARA  Jimbo Katoliki Ifakara lilikuwa mwenyeji wa Kongamano la mwaka huu la Utoto Mtakatifu Kanda ya Mashariki ya Metropolitan ya Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Kongamano hilo lilifanyika kati ya tarehe 13 na 17 Juni, 2013 lilihusisha majimbo manane ambayo ni Ifakara, Mahenge, Morogoro, Dodoma, Kondoa, Tanga, Zanzibar na Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Jumla ya Watoto 2 512 na walezi 570 walishiriki kongamano hili. Jumla hii ya walezi inajumuisha pia Mapadri na Watawa Masista. Maaskofu walioshiriki walikuwa ni pamoja na Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Wahashamu Maaskofu Telesphore Mkude wa Morogoro, Agapit Ndorobo wa Mahenge, Eusebius Nzigirwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam na Askofu Mwenyeji Salutaris Libena. Jimbo mwenyeji liliwakilishwa na jumla ya watoto 875na walezi 89. Watoto na Walezi kutoka ndani ya Jimbo waliwasili Jimboni tarehe 10 Juni s

WATOTO WA KITUO CHA BETHLEHEM WAPATA AJALI

Watoto wapatao 103, Walezi na Wafanyakazi wa Kituo cha Bethlehem jumla yao yapata kama 160 walipata ajali ya gari siku ya jumanne ya tarehe 25 juni, 2013 majira ya saa 11 jioni wakati wakituri kutoka pikiniki. Ajali hiyo ilitokea eneo la Kijiji cha Kilama B baada ya Fuso lililo wabeba kuingia katika shimo na kuanguka. Kati ya Walezi waliopata ajali alikuwepo pia Sr. Salome. Masista wengine walezi walirudi kwa gai nyingine. Mkurugenzi wa Kituo cha Bethlehem, Padri Basil Ngwega alieleza kuwa Watoto, Walezi na Wafanyakazi wa Kituo cha Bethlehem huwa na kawaida ya kufanya pikiniki wakati wanapofunga likizo la mwaka. Na mara hii walichagua kwenda Kilama B kwa pikiniki. Aliendelea kusema kuwa wakati wakirudi, gari ambalo lilibeba kundi kubwa zaidi lilitumbukia kwenye mtaro na kuegama baadaye kuanguka upande wa kulia mwa gari. Katika ajali hiyo, watoto wapatao 20 na walezi 5 waliweza kupata majeraha mbalimbali. Kati yao watoto 2 waliumia kichwani na kushonwa na walezi 4 walipumzishwa kati

KWA HERI KATEKISTA NYONI

Parokia ya Ifakara inasikitika kumpoteza Katekista hodari Pius Pius Nyoni, ambaye Mwenyezi Mungu amependa kumuita kwake. Katekista Nyoni alizaliwa mwaka 1954 huko kijiji cha Sofi. Alipata elimu ya sekondari huko Mahenge Kwiro. Katekista  Nyoni alifanya kazi sehemu mbalimbali kabla ya kuanza kazi ya ukatekista. Alianza kazi ya Ukatekista mwaka 2003 hapa parokiani Ifakara akiwa kama mwezeshaji wa semina mbalimbali hasa katika kundi la wana uamsho. Alipelekwa chuo cha Makatekista na kisha kurudi parokiani na kuwa mwalimu wa dini mzuri. Waliofundishwa naye ndio mashaidi hasa wa utaalamu wa fani yake hii ya mwisho, yaani UALIMU WA DINI. Wote tunaalikwa kumuombea huyu ndugu yetu ambaye alifanya kazi ya Kuwafundisha watu juu ya Mungu na kuwapeleka kwa Mungu kwa mafundisho mbalimbali. APUMZIKE KWA AMANI.

TAMASHA LA SHIRIKISHO LA KWAYA ZA KIKRISTO - IFAKARA

Leo tarehe 26/12/2012 Madhehebu ya Kikristo Mjini Ifakara yamefanya Tamasha la Kwaya za Kikristo kama sehemu mojawapo ya Uinjilishaji. Maaskofu wawili walishiriki Tamasha hilo, ambao ni Mhashamu Askofu Salutaris M. Libena wa JImbo Katoliki la Ifakara na Askofu Lenard Mtenji wa KKKT Usharika wa Ifakara. Mhashamu Askofu Salutaris Libena wa Jimbo Katoliki la Ifakara aliwaambia Wanakwaya wa Kwaya zote kuwa Utume wao si kuimba kama wengine wanavyofikiri, bali UTUME WAO NI UINJILISHAJI KWA NJIA YA KUIMBA. Kwa hiyo aliwaambia wanapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwajalia sauti nzuri za kuimba, kwa hiyo wazitumie sauti hizo KUMSIFU, KUMUABUDU, KUMTUKUZA, KUMSHUKURU NA KUMTANGAZA MWENYEZI MUNGU KWA WATU WOTE. Pia aliwaomba watunzi wa nyimbo watunge nyimbo za Kumsifu, Kumtukuza na Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Yesu Kristo zaidi kuliko kutunga nyimbo zinazomtaja SHETANI MWANZO MWISHO.Kwani tumepewa silaha za kujikinga na huyo shetani, lakini licha ya kupewa hizo kinga tumepewa sil

MBIO ZA MWAKA WA IMANI ZA PAMBAMOTO - IFAKARA

MSHUMAA MKUBWA WA MWAKA WA IMANI       Mnamo tarehe ya 17 ya mwezi wa 11 mwaka 2012, Mhashamu Askofu Salutaris M. Libena wa Jimbo Katoliki la Ifakara alizindua rasmi MWAKA WA IMANI katika Kanisa Kuu la Jimbo la Mtakatifu Andrea - Ifakara. Katika Misa hiyo Mhashamu Baba Askofu aliwasha Mshumaa Mkubwa wa Mwaka wa Imani na kisha kuwasha mishumaa midogo kutoka Mshumaa Mkubwa na kuwakabidhi Maparoko kwenda nayo Maparokiani kwo. Na ujumbe "MKAMTANGAZE KRISTO KWA KILA KIUMBE".      Miongoni mwa maazimio ya Mwaka wa Imani Jimboni Ifakara  ni kuutembeza MSALABA katika Parokia zote ndani ya Jimbo. Mbio hizo za kuutembeza Msalaba zimeanza leo tarehe 29/12/2012 kutokea Kanisa kuu la Jimbo na kwenda kukabidhiwa Parokia ya TAWETA ambayo inapakana na Jimbo la Njombe. Msalaba huo umeenda kukabidhiwa na Mhashamu Askofu Salutaris M. Libena.      Ratiba ya mzunguko  wa Msalaba huo imetoka, Safari ya Msalaba itakuwa kama ifuatavyo: Taweta, Mpanga, Mlimba, Chita, Merera, Mchombe, Mbi

MWAKA WA IMANI 2012 - 2013

     Idara ya mawasiliano (J) Katoliki la Ifakara, inapenda kuwatangazia Mapadre, Watawa, Walei na watu  wenye mapenzi mema wa Jimbo la Ifakara na Kanisa kwa ujumla kuwa tarehe 17 /11 /2012 Mhashamu Baba Askofu Salutaris M. Libena atazindua rasmi MWAKA WA IMANI JIMBONI IFAKARA 2012 - 2013